Polisi nchini Australia wamemtaka
mama wa mtoto aliyekutwa amekufa na kuzikwa kwenye mchanga wa kwenye
fukwe ya Maroubra Jijini Sydney kujitokeza mbele ya vyombo vya dola.
Mwili wa mtoto ulibainiwa na watoto
wawili wa kiume waliokuwa wakifuku mchanga katika fukwe wakati
wakicheza.
Polisi wamesema kuwa hawakuweza
kubaini umri wa mtoto huyo wala jinsia yake kutokana na mwili wake
kuharibika mno.
Tukio hilo limetokea baada ya wiki
mmoja kupita tangu mtoto mchanga kukutwa hai kwenye mtaro Jijini
Sydney.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni