.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 6 Desemba 2014

RAIS OBAMA AMTEUA ASHTON CARTER KUWA WAZIRI WA ULINZI

                  Rais wa Marekani, Barack Obama ( kushoto ) akiwa na Ashton Carter. 

Rais wa Marekani, Barack Obama jana jioni amemteua Ashton Carter kuwa waziri wa Ulinzi wa taifa hilo kubwa lenye nguvu dunia. Hata hivyo uteuzi huo wa Carter utasubiri kupitishwa na Bunge.
Waziri mteule wa Ulinzi wa Marekani, Ashton Carter ( kulia ) akifurahia jambo na Rais Barack Obama na Makamu wa Rais, Joe Biden ikulu ya Marekani jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni