Taarifa hiyo ni kama zawadi kubwa kwa kocha wa West Ham, Sam Allardyce ambaye sasa ana uhakika wa mchezaji huyo kubakia na timu yake katika ligi kuu Uingereza pamoja na kombe la FA wakati ambapo timu nyingi za Uingereza zitaathirika kwa wachezaji wao raia wa Afrika watakapojiunga na timu zao za taifa kwa ajili ya Afcon 2015.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni