.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Januari 2015

MAADHIMISHO MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

                         HIFADHI YA JAMII KWA WOTE

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wanayo furaha kuungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohamed Shein pamoja  Watanzania wote katika Maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
“HIFADHI YA JAMII KWA WOTE”

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni