Wachezaji wa timu za JKU na Mtibwa wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa Amaan mjini Zanzibar jana, timu hizo zimetoka sare ya 1-1. Beki wa timu ya Mtibwa akimzuia mshambuliaji wa timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa amaan. Timu hizo zimetoka sare 1-1.
Jumapili, 4 Januari 2015
KOMBE LA MAPINDUZI, MTIBWA YABANWA NA JKU UWANJA WA AMAAN
Wachezaji wa timu za JKU na Mtibwa wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa Amaan mjini Zanzibar jana, timu hizo zimetoka sare ya 1-1. Beki wa timu ya Mtibwa akimzuia mshambuliaji wa timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa amaan. Timu hizo zimetoka sare 1-1.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni