.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Januari 2015

MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AFUNGUA KITENGO CHA WAGONJWA MAHUTUTI HOSPITALI YA MNAZI MMOJA

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Bw. Xie Yun Liang, wakifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akitembelea wodi mpya ya wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja, baada ya kuifungua rasmi.
Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha afya Mbweni, wakiwa sehemu ya washiriki katika hafla ya ufunguzi wa wodi ya wagonjwa mahututi katika hospitali ya Mnazi mmoja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dr. Mohamed Saleh Jidawi, akizungumza wakati wa ufunguzi wa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akigana na Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Bw. Xie Yun Liang, baada ya kumalizika hafla ya ufunguzi wa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja. Wa pili kulia ni Waziri wa Afya Mhe. Rashid Seif Suleiman. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni