.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Januari 2015

MICHUANO YA KOMBE LA MAPINDUZI, YANGA YAITANDIKA SHABA 1-0

Wachezaji wa timu ya Yanga wakisalimiana na wachezaji wa timu ya Shaba kabla kuaza kwa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Katika mchezo huo Yanga imeshinda bao 1-0.
Kikosi cha Timu ya Shaba (Wazee wa Dago) wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuaza mchezo wao na Yanga kukamilisha ratiba ya Kombe la Mapinduzi hatua za makundi, ilikubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa timu ya Yanga.
Mshambuliaji wa timu ya Yanga kutoka Brazil Countinho, akishangilia bao lake alilofunga katika kipindi cha pili dakika ya 86 ya mchezo huo akiwa na mchezaji mwezake kutoka Laiberia. Timu ya Yanga imeshinda bao 1-0, dhidi timu ya Shaba Wazee wa Dago kutoka Micheweni Pemba. Kwa hisani ya ZanziNews

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni