.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 4 Januari 2015

MTOTO WA RAILA ODINGA AKUTWA AKIWA AMEKUFA NYUMBANI KWAKE LEO ASUBUHI

Fidel Odinga ambaye ni mtoto wa kiongozi wa muungano wa CORD nchini Kenya Raila Odinga, amekutwa akiwa amekufa leo asubuhi nyumbani kwake eneo la Karen.

Mwili wa mtoto huyo wa Raila Odinga, umekutwa ukiwa kitandani kwake, na kuchukuliwa kwenda kuhifadhiwa Lee Funeral Home.

Polisi Jijini Nairobi wamesema bado haijafahamika ni nini kilichopelekea kutokea kwa kifo hicho.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni