Watu hao ambao ni waislamu wenye
itikadi kali walifyatua risasi katika ofisi hiyo wakitumia silaha
aina ya rifle na kisha kupambana kwa kutupiana risasi na polisi
mtaani kabla ya kutoroka kwa gari.
Mashahidi wamesema watu hao wenye
silaha walisikika wakipaza sauti zao wakisema tunalipa kisasi kwa
ajili ya mtume Mohammad.
Rais wa Ufaransa Francois Hollande
amesema bila shaka hili ni shambulio la kigaidi linaloonyesha unyama
usiowakawaida.
Mmoja wa majeruhi akitolewa katika ofisi iliyoshambuliwa kwa risasi



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni