.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 18 Februari 2015

LIGI YA MABINGWA ULAYA, PARIS SAINT-GERMAIN NA CHELSEA NGUVU SAWA

Bao la daika ya 36 toka kwa Branislav Ivanovic wa Chelsea ( pichani aliyeruka juu ) liliifanya timu hiyo kuongoza kwa bao 1-0 katika kipindi cha kwanza dhidi ya Paris Saint-Germai ( PSG ) katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya, mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo nchini Ufaransa. Bao hilo lilidumu hadi kipindi cha kwanza kinamalizika.
Kipindi cha pili wenyeji PSG walikuja juu na kufanikiwa kusawazisha bao hilo katika dakika ya 54 kupitia kwa Edinson Cavani huku mlinda mlango wa Chelsea Thibaut Courtois akiwa hana la kufanya. Hadi mwisho wa mchezo huo timu hizo zilikuwa zimefungana bao 1-1.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni