.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 18 Februari 2015

MKUTANO WA KUJADILI KUKABILIANA NA VIKUNDI VYENYE MISIMAMO MIKALI WAANZA MAREKANI

Mkutano wa siku tatu unaojadili namna ya kukabiliana na vitendo vya kikatili vinavyofanywa na vikundi vyenye kufuata itikati kali, umeanza nchini Marekani.

Wawakilishi kutoka pande zote za dunia wanahudhuria mkutano huo, ambao umeitishwa kufuatia matukio ya mauaji yaliyotokea Denmark, Ufaransa na Australia.

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden amesema ni muhimu kushirikiana na wahamiaji ambao wanaweza kushawishika kujihusisha na makundi hayo kutokana na kujihisi wametengwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni