.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Aprili 2015

BODI YA REDIO JAMII MKOANI YAZINDULIWA

MENEJA wa Redio Jamii Mkoani ambaye ni mwandishi mwandishi wa habari mkongwe kisiwani Pemba, Ali Abass Omar akitoa taarifa fupi ya redio hiyo kwa wajumbe wa bodi ya redio hiyo huko katika ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wajumbe wa bodi ya Redio jamii baada ya kuizinduwa rasmi bodi hiyo huko katika ofisi yake Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa Bodi ya Redio Jamii Mkoani ambaye pia ni Mratib wa Tume ya Utangazaji Zanzibar, Afan Othman Juma, akitoa ahadi za utekelezaji wa redio hiyo huko Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.) 

                                                                                       Kwa hisani ya ZanziNews

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni