MENEJA wa Redio Jamii Mkoani ambaye ni mwandishi mwandishi wa habari mkongwe kisiwani Pemba, Ali Abass Omar akitoa taarifa fupi ya redio hiyo kwa wajumbe wa bodi ya redio hiyo huko katika ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wajumbe wa bodi ya Redio jamii baada ya kuizinduwa rasmi bodi hiyo huko katika ofisi yake Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Kwa hisani ya ZanziNews
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni