Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhuri Kihwelu"Julio"akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo mara baada ya kumalizika mazoezi yao juzi kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. Picha kwa Hisani ya Coastal Union.
Jumamosi, 18 Aprili 2015
JULIO AJIPANGA NA WACHEZAJI WAKE KUIMALIZA POLISI MOROGORO
Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhuri Kihwelu"Julio"akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo mara baada ya kumalizika mazoezi yao juzi kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. Picha kwa Hisani ya Coastal Union.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni