.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Aprili 2015

KIM KARDASHIAN NA VAZI LAKE MTAANI

Mwanadada anayetamba nchini Marekani kutokana na kutosihiwa vituko, Kim Kardashian akiwa ameongozana na mtoto wa dada yake Kourtney, Mason mwenye umri wa miaka 5 wakitoka kufanya manunuzi. 

Kim ( 34 ) anayetamba na kipindi cha luninga cha Keeping Up With The Kardashians ambaye pia ni mke wa mwanamuziki Kanye West alionekana akiwa amevaa jeans na sweta ambalo kimuonekano ni kama limechakaa, lakini ndio staili hiyo. 

Bongo watu wangesema sweta yake imechakaa hadi kuchanika. Mume wake, Kanye West hupendelea mara kwa mara kuvaa mavazi ya aina hii.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni