.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 27 Aprili 2015

LIGI KUU UINGEREZA, CHELSEA NA ARSENAL HAKUNA MBABE

Timu ya soka ya Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi kuu Uingereza baada ya jana kulazimishwa sare ya kutofungana na Arsenal katika mchezo wa ligi kuu nchini humo uliochezwa uwanja wa Emirates. 

Katika mchezo huo, timu zote zilionyesha soka la kushambulia, lakini hakuna timu iliyofanikiwa kutikisa nyavu za mwenzake. Kwa matokeo hayo, Cheslea imefikisha pointi 77 wakati Arsenal wakiwa nafasi ya tatu na pointi 67.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni