.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 14 Aprili 2015

LIGI KUU UINGEREZA, LIVERPOOL WAICHAPA NEWCASTLE 2-0

Mabao kutoka kwa wachezaji Raheem Sterling katika dakika ya 9 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, na bao la pili lililowekwa kimiani na Joe Allen kunako dakika ya 71 ya kipindi cha pili yalitosha Liverpool kuizamisha Newcastle United kwa mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliochezwa usiku wa kuamkia leo.
Kwa matokeo hayo, Liverpool imefikisha pointi 57 wakiwa katika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi hiyo.







Hakuna maoni :

Chapisha Maoni