.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

LIVERPOOL KUCHEZA NUSU FAINALI KOMBE LA FA NA ASTON VILLA APRIL 19' 2015

Wachezaji wa timu ya Liverpool wakipongezana baada ya kuifunga Blackburn bao 1-0 na kufanikiwa kusonga mbele hadi hatua ya nusu fainali ya kombe la FA.
Kwa matokeo hayo, Liverpool watacheza nusu fainali na Aston Villa, mchezo utakaochezwa katika uwanja wa Wembley jumapili ya tarehe 19 April 2015.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni