.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Aprili 2015

NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AMEFANYA ZIARA KATIKA MIRADI MBALIMBALI YA MAJI JIMBO LA PERAMIHO


Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara kikazi katika jimbo la Peramiho kwa kutembelea miradi maji vijiji vya Lugagara, Peramiho, Muungano Zomba, Liula na Matimila. 

Naibu waziri amewahakikishia nia ya serikali ya kukamilisha miradi yote ya vijiji kumi na Ile ya Matokeo ya haraka.

Naibu Waziri wa NMaji, Mh Amos Makalla akipokea zawadi kijiji cha Lugagara Naibu Waziri Maji,Mh Amos Makalla akipata maelezo mradi Maji Peramiho A

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni