Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsimika rasmi Mzee Pius Msekwa kuwa
Mwenyekiti wa Kibweta cha Mwalimu Nyerere cha Uongozi na Maadili wakati
wa uzinduzi wa Kozi Maalum ya Maadili na Uongozi katika Chuo cha
Kumbukumbu ya Nyerere Kigamoni jijini Dar es salaam leo.
PICHA NA IKULU



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni