.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AYAPOKEA MATEMBEZI YA VIJANA YA KUMUENZI MZEE ABEID AMANI KARUME

g1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai wakati alipowasili katika viwanja vya Ofisi Kuu Kisiwandui Mjini Unguja leo kupokea matembezi ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi katika kumuenzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,[Picha na Ikulu.] g2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipowasili katika viwanja vya Ofisi Kuu Kisiwandui Mjini Unguja leo kupokea matembezi ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi katika kumuenzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,[Picha na Ikulu.] g3
Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika matembezi ya kumuenzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume wakiingia katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo ambapo yatapokelewa na rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.] g4
Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakibeba Picha la Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume katika matembezi ya kumuenzi kiongozi huyo yaliyoanzia Mwera na kumalizia katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo ambapo yatapokelewa na rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.] g5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwangia mkono vijana wakati alipokuwa kiyapokea matembezi ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi katika kumuenzi Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume katika viwanja vya
Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]

g6 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake kwa Vijana wa Chama cha Mapinduzi walioshiriki katika matembezi ya kumuenzi Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume baada ya kuyapokea matembezi hayo leo katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

g7 
Baadhi ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi walioshiriki katika matembezi ya kumuenzi Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume yaliyoanzia Mwera na kumalizia katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCm Kisiwandui Mjini Unguja leo na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.]g8 
Vijana wa Cahama cha Mapinduzi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipozungumza nao baada ya kuyapokea
matembezi ya Vijana hao yaliyoanzia Mwera na kumalizia katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni