.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Aprili 2015

WAPIGANAJI WA AL SHAABAB WAMUUA CHIEF WA MANDERA NCHINI KENYA

Wapiganaji wa kundi la Al Shaabab wanadaiwa kumteka na baadaye kumuua Chief wa Mandera muda mfupi baada ya kumteka akiwa na abiria wengine wakisafiri kwa basi kutoka Elwak kuelekea Mandera mjini jana saa moja asubuhi. 

Wapiganaji hao wanadaiwa kuwa na silaha za moto wakati walipolisimamisha basi hilo, kisha kuwaamuru abiria wote kuteremka chini, kisha wakaanza kukagua nyaraka zao na baadaye kuwapora simu za mkononi, fedha na vitu vingine. 

Bada ya tukio hilo, waliwaamuru abiria wengine kuendelea na safari yao huku wakiondoka na Chief huyo kuelekea nae Somalia ambapo baadaye walimuua.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni