.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 19 Aprili 2015

WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA UJUMBE WAKE AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA AFRIKA, UONGOZI WA MFUKO WA CHANGAMOTO ZA MILENIA

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na ujumbe wake katika majadiliano naMkurugenzi Mtendaji wa kundi la Afrika ( Afrikca Group 1 constituency)Bi.Chileshe Mpundu Kapwepwe(hayupo kwenye picha). kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akifuatiwa na Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Dr. Philip Mpango.Kutoka kushoto niKatibu Mkuu Wizara ya
fedha Zanzibar Bw. Khamis Mussa na kufuatiwa na Gavana msaidizi wa Benki kuu ya Tanzania Bi. Natu Mwamba.Pamoja na ujumbe kutoka Tanzania.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile na Bw. Ngosha Saidi Magonya, Kamishna wa Fedha za nje.Kushoto kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani – Washington
Mhe.Liberata Mulamula, Katibu Mkuu Wizara ya fedha Zanzibar Bw. Khamis Mussa na Bw. Laston Msongole ambaye ni Mtendaji Mkuu wa mfuko wa milenia wa awamu ya pili.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya (katikati) akisikiliza kwa makini maelezo na msimamo wa uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) hawapokwenye picha.Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile na kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani – Washington DC. Mhe.Liberata Mulamula.
Makamu wa Rais wa shughuli za operesheni za mfuko wa Changamoto za Milenia, Bw. Kamran Khan wa katikati akitoa maelezo na msimamo wa mfuko wa Changamoto za milenia. Wengine ni viongozi wa mfuko wa changamoto za Milenia wakiongea na ujumbe wa Tanzania

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni