Timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam wametwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa msimu wa 2014/2015 baada ya leo kuitanmdika bila huruma timu ya soka ya Polisi Morogoro kwa jumla ya magoli 4-1, katika mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni