.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 2 Mei 2015

KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI AZINDUA UUZAJI WA FILAMA ZA TANZANIA KWENYE MTANDAO

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika, Karibiani na Pasifiki Balozi Dr Patrick Gomes (kushoto) akisalimiana Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala P baada ya kuzindua Utaratibu wa Uuzaji wa Filamu za Tanzania kwenye Mtandao. Uzinduzi huo humefanyika Makao Makuu ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki Jijini Brussels Ubeligiji.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni