Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla amewataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka Wizara ya Ardhi kufika haraka Mvomero kukutana na wananchi wa Vijiji vyote ambao ni wadau wa bonde la Mgongolwa ili kutoa Elimu, kutoa tafsiri na kuweka mipaka mipya kufuatia hukumu ya kesi ya muda mrefu iliyotolewa wiki iliyopita.
Jumatano, 10 Juni 2015
MBUNGE WA MVOMERO, MH AMOS MAKALLA AWATAKA WANANASHERIA WA WIZARA YA ARDHI KUFIKA JIMBONI KWAKE KUKUTANA NA WANANCHI
Wananchi wakimpongeza mbunge wao, Mh Amos Makalla
Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla amewataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka Wizara ya Ardhi kufika haraka Mvomero kukutana na wananchi wa Vijiji vyote ambao ni wadau wa bonde la Mgongolwa ili kutoa Elimu, kutoa tafsiri na kuweka mipaka mipya kufuatia hukumu ya kesi ya muda mrefu iliyotolewa wiki iliyopita.
Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla amewataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka Wizara ya Ardhi kufika haraka Mvomero kukutana na wananchi wa Vijiji vyote ambao ni wadau wa bonde la Mgongolwa ili kutoa Elimu, kutoa tafsiri na kuweka mipaka mipya kufuatia hukumu ya kesi ya muda mrefu iliyotolewa wiki iliyopita.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni