.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Juni 2015

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA


Mkaguzi Lenatus Leonard (Katikati) kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi akihojiwa kuhusu ufanisi wa ukaguzi kwa upande wa Serikali za Mitaa na Bw. Pachal Mayala wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2015 yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 

PICHA KUTOKA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI, MAKAO MAKUU

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni