Alhamisi, 18 Juni 2015
OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA
Mkaguzi Lenatus Leonard (Katikati) kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi akihojiwa kuhusu ufanisi wa ukaguzi kwa upande wa Serikali za Mitaa na Bw. Pachal Mayala wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2015 yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
PICHA KUTOKA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI, MAKAO MAKUU
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni