Picha hizi zinazoonyesha hali ya
taharuki na kutisha wakati wahamiaji haramu wakining'inia kwenye boti
lililozama ili kunusuru maisha yao katika safari ya kukatiza bahari
ya Mediterranean.
Wahamiaji haramu zaidi ya 450 kutoka
Afrika ambao hukatiza kutafuta maisha katika nchi za Ulaya, waliokuwa
wamejaa katika boti hilo la uvuvi, ambalo lilizama maili 20 kutoka
pwani ya kaskazini ya Libya.
Hali ni tete wahamiaji wakijaribu kuokoa maisha yao
Katika tukio hilo kuna wengine waliopoteza maisha



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni