Sheikh mkuu wa Tanzania, Mufti Shaaban Issa Bin Simba
Taarifa zilizoifikia Rweyunga Blog zinasema Sheikh mkuu wa Tanzania, Mufti Shaaban Issa Bin Simba amefariki dunia leo asubuhi.
Akitoa taarifa za kifo cha Mufti, Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum amesema Mufti Shaaban Bin Simba amefariki leo asubuhi katika hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa toka juzi akipatiwa matibabu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni