.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Julai 2015

KOCHA JOSE MOURINHO AJIBU MAPIGO YA MKE WA RAFA BANITEZ

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amejibu mapigo dhidi ya kauli ya mke wa Rafa Benitez, aitwae Montse, baada ya kusema kuwa mumewake amekuwa akisafisha makosa ya Mourinho katika klabu alizofundisha.

Mourinho amekanusha tuhuma hizo huku akimtupia dongo Banitez kuhusiana na kuongezeka uzito na kumtaka mke wake amsaidie mumewe kupunguza unene.

Kocha huyo wa Chelsea amesema mwanamke huyo amechanganyikiwa kwani mumewe alienda Chelsea kuchukua nafasi ya Roberto Di Matteo na alijiunga na Real Madrid kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti na wala si iliyoachwa na Mourinho.
                                                        Kocha Rafa Banitez akiwa na mkewe Montse

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni