Kundi lililojizolea sifa kwa ukatili
la IS, limetoa picha zinazoonyesha likiwarusha watu kichwa chini
kutoka juu ya ghorofa ya nne nchini Irak kwa tuhuma za kujihusisha na
vitendo vya ushoga.
Kundi hilo limekuwa likifanya mauaji
ya kikatili ya aina mbalimbali ikiwemo ya kuchinja watu, kuchoma
moto, kuwapiga risasi kichwani katika mji wa Raqqa nchini Syria, sasa
ukatili huo wameuhamishia katika mkoa wa Fallujah nchini Irak.
Mtu akishuka chini baada ya kutupwa kutoka juu ya ghorofa
Mmoja wa wapiganaji wa IS akimsubiria kwa chini mtu aliyetupwa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni