.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Julai 2015

SANAMU LA MCHEKESHAJI MKONGWE BILL COSBY LAANDOLEWA KATIKA BUSTANI YA DISNEY

Sanamu la mchekeshaji mkongwe Bill Cosby limeondolewa katika eneo la bustani ya Disney, kufuatia kubainika kuwa mchekeshaji huyo aliwahi kukiri mahakamani kumpa mwanamke dawa za kumlevya kabla kulala nae.

Nyaraka za mahakama zilizotolewa wiki iliyopita zimebaini kuwa Cosby alikiri mnamo mwaka 2005 kuwa alikuwa na dawa aina ya Quaaludes kwa lengo la kuwapatia wanawake kabla ya kulala nao.

Bill Cosby anakabiliwa na mfululizo wa tuhuma za kuwabaka wanawake ambazo anadaiwa kuzitenda karibu muongo mmoja uliopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni