.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 17 Agosti 2015

ALIYEMUUA MTOTO WA KAMBO WA MORGAN FREEMAN AKAMATWA

Kijana aliyemuua kwa kumchoma choma kwa kisu mtoto wa kambo wa mchekeshaji mkongwe Morgan Freeman huko Manhattan, jana asubuhi kwa imani za kumtoa majini imeelezwa kuwa ni rafiki wa kiume wa binti huyo E'Dena Hines.

E'Dena Hines, 33, alikutwa akiwa amekufa baada ya rafiki yake wa kiume Lamar Davenport, 30, alipomshambulia kwa kisu nyumbani kwake Washington Heights, ambapo Davenport alikutwa akiwa amesima kando ya mwili wake akipiga kelele' Shetani toka'.

Kijana Davenport ambaye alikuwa anapenda kuwa muigizaji ana historia ya kutumia dawa za kulevya, amekamatwa na kupelekwa kituo cha afya cha Columbia Presbyterian Medical Center, kufanyiwa vipimo vya akili yake.
                           E'Dena Hines kushoto akiwa na mpenzi wake Devenport kati kati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni