.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

LIGI KUU ENGLAND, LIVERPOOL YAANZA KWA USHINDI MWEMBAMBA DHIDI YA STOKE CITY

Liverpool ikicheza ugenini imeanza vyema ligi kuu nchini England baada ya kushuhudia ikipata pointi 3 baada ya kuifunga Stoke City bao 1-0 katika mchezo wa kwanza wa ligi hiyo iliyoanza rasmi kutimua vumbi jumamosi ya tarehe 08'08'2015. 

Katika mchezo huo uliochezwa jana, bao la Liverpool liliwekwa kimiani na Philippe Coutinho katika dakika ya 86 ya mchezo huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni