.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Agosti 2015

MANCHESTER CITY YAANZA VYEMA LIGI KUU ENGLAND KWA KUITANDIKA WEST BROM 3-0

Yaya Toure ameanza vyema ligi kuu nchini England kwa kuonyesha makali yake, pale alipofunga mara mbili na kuisaidia timu yake ya Manchester City kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya West Brom, mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo. 

Katika mchezo huo, West Brom waliokuwa katika uwanja wao wa nyumbani walishindwa kabisa kuzuia mashambulizi ya washambuliaji wa Manchester City waliokuwa na hamu ya kufumania nyavu na kuanza vyema ligi hiyo.
Mbali ya Yaya Toure kufunga mabao mawili katika dakika za 9 na 24 dhidi ya matatu ya timu yake, pia nahodha wa timu hiyo Vicent Kompany alifunga bao la tatu nala ushindi katika dakika ya 59.






Hakuna maoni :

Chapisha Maoni