.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

MFUNGWA ATOROKA GEREZANI AUSTRALIA KWA KUTUMIA MASHUKA

Mfungwa aliyekuwa katika gereza lenye ulinzi mkali ametoroka gerezani nchini Australia katika jimbo la Kusini Wales kwa kufunga mashuka ya kulalia na kuyatumia kupanda ukutani.

Mfungwa huyo Stephen Jamieson, 28, imeripotiwa alijizungushia mto kiunoni ili asichanwe makalio yake na nywaya mithili ya wembe zilizopo juu ya ukuta.

Mfungwa Jamieson, alikuwa akitumikia kifungo cha miaka 12 jela kwa kosa la wizi wa kutumia silaha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni