.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Agosti 2015

MH. JOHN POMBE MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA WAKE, SAMIA SULUHU HASSAN WARUDISHA FOMU TUME

Mgombea urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damiani Lubuva, wakati alipowasili ofisi hizo.
               Mh Magufuli kiwa na mgombea mwenza, Samiah Hassan Suluhu.
                             Viongozi wa CCM waliomsindikiza mgombea wao wa urais.
                 Lubuva (kulia) akizungumza jambo wakati wa kurudisha fomu hizo.
                                                  Magufuli akionyesha fomu wakati wa kurudisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni