Mtoto wa marehemu Mao Luangisa akitoa salamu za shukurani.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis akiongea
machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za
Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya
hivyo Jumuiya zitakua imara.
Mchungaji Butiku akiongoza misa.
Wakati wa maakuli.
Kwa picha zaidi bofya HAPA
machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za
Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya
hivyo Jumuiya zitakua imara.
Kwa picha zaidi bofya HAPA
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni