.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Agosti 2015

MOTO WAENDELEA KUWAKA KATIKA ENEO LA MILIPUKO NCHINI CHINA

Moto bado unauwaka katika maeneo yaliyotokea milipuko mikubwa katika mji wa Tianjin nchini China, hata baada ya kupita saa 36.

Timu ya wanajeshi wataalam wa kemikali inafanya vipimo vya gesi yenye sumu katika eneo hilo na waokoaji wameagizwa kuvaa nguo za kujikinga.

Watu wapatao 50 wamekufa katika milipuko hiyo na mamia kujeruhiwa, 71 wakijeruhiwa vibaya katika milipuko hiyo iliyotokea jumatano jioni. Aidha kunataarifa za kupatikana watu waliohai kwenye vifusi hii leo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni