Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), akimkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Ekimu kwa Umma cha Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Abel Swai sehemu ya fulana 3,800, kofia 2,800 na stika kwa ajili ya Maadhinisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyoayoanza Agosti 3 hadi 7 jijini Tanga. TBL imedhamini maadhimisho hayo kwa sh. mil 124, ambapo madereva wa masafa marefu watapimwa afya zao pamoja na kuwapatia mafunzo waendesha bodaboda 300. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), akimkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Ekimu kwa Umma cha Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani,Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Abel Swai moja ya vyeti watakavyokabidhiwa madereva wa masafa marefu watakaopimwa afya zao wakati wa Maadhinisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyoanza Agosti 3 hadi 7 jijini Tanga. TBL imedhamini maadhimisho hayo kwa sh. mil 124, ambapo pia mafunzo yataendeshwa kwa bodaboda 300. Makabidhiano hayo ya stika, fulana na kofia na vyeti yalifanyika Dar es Salaam.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni