.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

NAIBU WAZIRI WA MAJI, MH. AMOS MAKALLA ATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI JIJINI MWANZA


Katika mkutano na bodi na wafanyakazi amewataka kutoa huduma kwa wateja kwa kiwango cha juu ikiwemo kusikiliza matatizo ya wateja na kuyashughulikia kwa wakati.
 
Aidha ameitaka menejimenti kuhakikisha mkandarasi wa kujenga mradi mkubwa wa kuboresha huduma ya maji jiji la Mwanza hususan maeneo ya miinuko ananza kazi novemba kama ilivyopangwa.
 
Mradi huo mkubwa unagharimu shilingi bilioni 110 na ni ushirikiano wa serikali ya Tanzania. Shirika la maendeleo la Ulaya na ufaransa
Kukamilika kwa mradi huu kutamaliza tatizo la maji jiji la Mwanza

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni