.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Agosti 2015

ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC MKOANI LINDI

1 (2)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasili katika ofisi za NHC Lindi.
2 (1)
Meneja wa Lindi Mussa Patrick Kamendu akitoa taarifa ya mkoa wa Lindi kwa Mkurugenzi Mkuu.
3 (1)
Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu akiongea na wafanyakazi wa Lindi pamoja na wakurungezi alioongozana nao katika ziara hiyo pia aliwapongezza wafanyakazi kwa kazi nzuri wanayoifanya kaika mkoa huo.
4 (1)
 Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu akitoa ufafanuzi baada ya kuona sehemu utakaojengwa Mradi wa Mtanda phase 2.
6 (1)
Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu, pamoja na timu aliyoongozana nayo wakionyeshwa ramani ya eneo ambalo halmashauri inawashawishi wananchi walipwe fidia ndogo ili shirika liweze kujenga nyumba za gharama nafuu.
7 (1)
Eneo hilo lina viwanja vitano vyenye ukubwa tofauti ,mathalan Kiwanja No.9 kitalu A kina ukubwa wa meta mraba 30,465.Ambazo ni sawa na ekari saba. Masoko Pwani Kilwa Masoko.
8 (1)
Meneja wa Lindi Bw, Patrick akionyesha eneo lililonunuliwa na shirika maeneo ya Tipuli mkoani Lindi lenye ukubwa wa ekari 10.
9
Katika ziara yake Mkurugenzi Mkuu alikuja kuimalizia katika kukagua matengenezo ya nyumba kwa mfano, alikagua Ukumbi wa kisasa kiwanja Na.23-25/B Mjini Lindi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni