.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 8 Septemba 2015

ALIYEKUWA KIONGOZI WA CHAD HISSENE HABRE AINGIZWA MAHAKAMANI KWA NGUVU

Aliyekuwa kiongozi wa Chad Hissene Habre ameburuzwa kortini na walinzi weliofunika sura zao wakati wa kuanza kwa kesi yake ya ya uhalifu wa kivita katika Jiji la Dakar nchini Senegali.

Kiongozi huyo wa zamani wa Chad aliingizwa mahakamani kwa kutumia nguvu baada ya kugoma kwenda, na pia alikatiza usikilizaji wa kesi kwa kupiga kelele wakati akisomewa mashtaka.

Habre anatuhumiwa kwa kuagiza mauaji ya watu 40,000 wakati wa utawala wake katika miaka ya 1980, mashtaka ambayo amekanusha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni