.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 1 Septemba 2015

CHELSEA YAONYESHA NAMNA DIMBA LAO JIPYA LITAKAVYOKUWA

Mashabiki wa timu ya Chelsea wameonyeshwa kwa mara ya kwanza jinsi dimba lao la Stamford Bridge litakavokuja kuwa baada ya kufanyiwa upanuzi ili kuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 60,000.

Ujenzi wa uwanja huo unaotarajiwa kukamilika mwaka 2020 utagharimu kiasi cha paundi milioni 500, na Chelsea italazimika kuhama uwanja huo kwa kipindi cha miaka mitatu kupisha ujenzi.
                             Muonekano wa ndani katika dimba jipya la Stamford Bridge
                                                                  Muonekano wa Stamford Bridge kwa juu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni