Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa
kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za
wizara hiyo.
Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia wizara ya maliasili na utalii wakizindua rasmi tangazo litakalokuwa linatangaza vivutio vya Tanzania nje ya anchi alitawazwa leo hii na katibu mkuu Dr Adelhelm James Meru aliyemkabidhi kwa niaba ya Waziri , Mheshimiwa Lazaro Nyalandu huku Kaimu Mkurugenzi Madam Devota Mdachi akishuhudia.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni