.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Alhamisi, 3 Septemba 2015
KAMPENI ZA URAIS ZA DK MAGUFULI NI MWENDO MDUNDO MTWARA
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Mashujaa mjini Mtwara leo, ambapo alijinadi na kuwanadi wagombea ubunge pamoja na wagombea udiwani katika Manispaa ya Mtwara.
Dk Magufuli tayari hadi sasa amefanya mikutano ya kampeni katika mikoa 6 ya Katavi, Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma na Mtwara. ambapo aakishinda uchaguzi ameahidi mambo mbalimbali kama vile ile ya bure kutoka darasa la kwanza hadi kidato cha nne, kujenga reli kutoka Mtwara hadi Mbamba Bay mkoani Ruvuma, kushusha bei ya vifaa vya ujenzi na kutoa sh. mil. 50 kwa kila kijiji za kuwakopesha wanawake na vijana kuendeleza miradi na biashara zao kwa lengo la kuwaletea maendeleo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na ahadi mbalimbali zilizotolewa na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk Magufuli kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Mtwara leo
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Mashujaa mjini Mtwara leo, ambapo alijinadi na kuwanadi wagombea ubunge pamoja na wagombea udiwani katika Manispaa ya Mtwara.
Dk Magufuli akimsaidia hela mtoto Riziki Faraji za kununulia sare ya shule alipomuona wakati msafara wake ulipozuiwa na wananchi katika Kijiji cha Kitama A, mkoani Mtwara
Wazee wakisikiliza kwa makini wakati Dk Magufuli akijinadi katika Kijiji cha Chiungutwa wilayani Masasi, Mtwra leo
Dk Magufuli akishangiliwa na wananchi katika Kijiji cha Nangaga wilayani Newara, Mtwara
Dk Magufuli akifurahi baada ya wazee wa kimila kumkabidhi siraha za jadi wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja mpira wa Newara mjini
Dk Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Newara Mjini, George Mkuchika wakati wa mkutano huo.
Mgombea ubunge Jimbo la Newara Vijijini Rashid Akber akiwa na furaha alipokuwa akinadiwa na Dk Magufuli mjni Newara
Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi katika Kijiji cha Kitama A, wilayani Newara
Wananchi wakishangilia baada ya kumona Dk Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni mjini Tandahimba
Katika mkutano wa Tandahimba
Dk Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Tandahimba, Shaibu Likumbo
Ni furaha iliyoje kwa wananchi walipomuona Dk Magufuli mjini Tandahimba
Dk Magufuli akihutubia katika Jimbo la Nanyamba, wilayani Tandahimba
Picha za Dk Magufuli zikiwa zimeupamba mkutano wa kampeni katika Kata ya Ziwani Mtwara Vijijini leo
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni