.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 7 Septemba 2015

LEWIS HAMILTON AJIPONGEZA KWA KUNUNUA GARI 'DUBWANA LENYE KICHAA'

Nyota wa mbio za magari za Langalanga Lewis Hamilton amenogesha ushindi kwa kununua gari la kifahari la Mercedes G63 AMG lenye matairi sita, lililobuniwa kutumika kwenye barabara mbaya na zenye miamba.

Gari hilo ambalo limepachikwa jina la 'lunatic monster' ambalo ni kama yanayotumiwa na majeshi ya Australia, limemugharimu Lewis Hamilton kitita cha paundi 370,000.
                                                            Muonekano wa gari hilo kwa ndani
                                 Myama ukipanda jabali katika eneo la barabara mbaya

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni