Mahujaji wengine 863
wamejeruhiwa katika tukio hilo lililotokea Mina, wakati mahujaji
milioni mbili wakiadhimisha siku ya mwisho ya ibada ya Hija.
Mahujaji hao
wamekanyagana wakati wakitupa mawe kwenye nguzo kadhaa katika mji wa
Mina kitendo ambacho ni cha kumpiga mawe shetani.
Mahujaji wakiwa Maka baada ya kutokea tukio la kukanyagana
Mahujaji wakitupa mawe kwenye nguzo kumpiga shetani




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni