.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Ijumaa, 11 Septemba 2015
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI IRINGA VIJIJINI
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini, (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa na mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na Makamu Mwenyekiti wa Bavicha Taifa ambaye pia ni mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi wakiwasalimia wananchi waliofika katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Kimandi Iringa vijijini.
Wananchi wakifuatilia mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Isimani mkoani Iringa.
Mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini kupitia Ukawa, Patrick Ole Sosopi akihutubia mkutano wa kampeni.
Wasanii wa kikundi cha ngom za asili cha Kitimtim kutoka mkoani Iringa kikitumbuiza wakati wa mkutano wa kampeni uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa, kupitia Chadema, Juma Duni Haji (hayupo pichani) uliofanyika jimbo la Isimani Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akimtambulisha kwa wapiga kura mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni