.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Septemba 2015

MTENDAJI MKUU WA BMW AANGUKA JUKWAANI WAKATI AKITANGAZA GARI LAO JIPYA

Mtendaji Mkuu wa kampuni ya magari ya BMW, Harald Krueger ameanguka katika mkutano na vyombo vya hanbari wakati wa maonyesho ya magari ya Frankfurt akiwa amesimama kando ya gari la BMW aina ya hybrid electric i8 super car.

Muda mfupi tu baada ya kupanda jukwaani, Krueger alitereza kwa nyuma na kuanguka chini, ambapo wafanyakazi wawili wa kampuni ya BMW walimkimbilia kumnyanyua ili kumsaidia kusimama na kuhairishwa kutangazwa kwa gari hilo.
                                                     Mtendaji Mkuu wa BMW akiendelea kuanguka
                                                           Hapa Bw. Harald Krueger akiwa chali chini 
                               Wafanyakazi wa BMW wakimsaidia kunyanyuka bosi wao

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni