.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Septemba 2015

RAFIKI WA MWANARIADHA OSCAR PISTORIUS ASEMA MWANARIADHA HUYO AMEDHOOFIKA

Rafiki wa mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amebainisha kuwa mwanariadha huyo amedhoofika, amekonda na kuvunjika moyo wakati huu akitumikia kifungo cha miaka 5 jela.

Kauli ya rafiki huyo imekuja wakati Pistorius anayetumikia adhabu hiyo kwa kumuua bila ya kukusudia mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013, akiwa anangojea uamuzi wa kusamehewa ili akamalizie hukumu yake nyumbani.
                          Marehemu Reeva akiwa na Pistorius wakati wa uhai wake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni